Lindi inapiga hatua kupunguza vifo vya mama na mtoto.

MKOA wa Lindi umepiga hatua ya kupunguza vifo vya mama na mtoto kabla, wakati na baada ya kujifungua kutoka vifo 47 mwaka 2021 hadi vifo 32 mwaka 2022 ikiwa ni tofauti ya vifo 15 kwa mwaka. Hayo yamebainishwa 5 Februari 2023 na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Dkt. Kheri Kagya katika kikao kazi cha